Mswada wa Fedha 2024/2025: Je, Kenya Kwanza Inakujali Wewe?

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Mapendekezo yaliyomo kwenye Mswada wa Fedha wa mwaka wa kifedha ujao yanaonesha wazi kuwa serikali ya Kenya Kwanza haina ufahamu wa hali halisi ya Mkenya. Haijali kuhusu vipaumbele vya Mkenya. Lakini, nani aliiweka serikali hii mamlakani kama sio Mkenya yuyu huyu. Huwa tunauliza maswali kuhusu nani atafadhili ahadi chungu nzima zinazotolewa na wanasiasa wakati wa kampeini?

Share this episode
WILLIS OTIENO: Kenya Kwanza Leaders Wear Gucci and Balenciaga While Kenyans Suffer
Our guest, Willis Otieno, a constitutional lawyer, joins us to discuss the 2024/2025 budget estimate...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS