Mgomo wa Madaktari: Mgomo wa Madaktari na Udhaifu wa Uongozi
General Podcasts
May. 08, 2024
Kushindwa kwa serikali hii kufumbua fumbo la mgomo wa madaktari ambao umeendelea kwa takribani miezi miwili sasa ni ishara tosha ya serikali isiyomjali Mkenya na iliyoshindwa katika kutekeleza majukumu yake. Aibu iliyoje!
RELATED EPISODES
Why Health Insurance Matters for Kenyans