Mstakabali wa lugha ya Kiswahili Afrika na ulimwenguni; Kulikoni Podcast
General Podcasts
Jul. 18, 2023
Karibu kwenye podikasti ya Kulikoni! Leo, tunaangazia maadhimisho ya Swahili Day. Prof David Monda anazungumza na mwanabiashara nguli Bi Rehema Majollo, mkurugenzi mkuu wa Habari Academy. Pia kunao wazazi wawili walio na watoto wanaojifunza Kiswahili, Bi. Bisonga na Bi. Karibuni!
RELATED EPISODES
Why Health Insurance Matters for Kenyans