Serikali Ilenge Kupanua Idadi Ya Walipa Ushuru
Published May. 30, 2024
00:00
00:00

Kuendelea kwa serikali kuongeza ushuru wanaotozwa wafanyabiashara kunatishia kuwatorosha waekezaji hadi mataifa mengine. Serikali ilenge kupanua idadi ya walipaushuru, sio kuwatoza walipaushuru waliopo ushuru zaidi ya uwezo wao.

Related Podcasts

Latest Podcasts