Kushindwa kwa serikali hii kufumbua fumbo la mgomo wa madaktari ambao umeendelea kwa takribani miezi miwili sasa ni ishara tosha ya serikali isiyomjali Mkenya na iliyoshindwa katika kutekeleza majukumu yake. Aibu iliyoje!
Kushindwa kwa serikali hii kufumbua fumbo la mgomo wa madaktari ambao umeendelea kwa takribani miezi miwili sasa ni ishara tosha ya serikali isiyomjali Mkenya na iliyoshindwa katika kutekeleza majukumu yake. Aibu iliyoje!