Shahidi aeleza mahakama jinzi mwanafunzi wa kidato cha pili aliuawa na mpenzi wake
Kazdo, ambaye alikuwa na umri wa miaka 17, aliuawa kwa kudungwa kisu Juni, 6 mita chache kutoka nyumbani kwao kwenye eneo la Mferejini, Kijipwa katika Kaunti ya Kilifi.